2 Corinthians 3:14-15

14 aLakini akili zao zilipumbazwa, kwa maana mpaka leo utaji ule ule hufunika wakati Torati inasomwa. Huo utaji haujaondolewa, kwa maana ni katika Al-Masihi peke yake unaondolewa. 15 bHata leo Torati ya Musa inaposomwa, utaji hufunika mioyo yao.
Copyright information for SwhKC